
Picha ya Genevieve
"Maneno yake ni mazuri lakini yanatakiwa yawe ya ukweli maana kuongea ni rahisi, vitu vinatakiwa viwe kiuahalisia kuanzia kusapotiana kwa wasanii wa kike kwa sababu hilo halipo" amesema Genevieve
Zaidi mtazame hapa kwenye video akizungumzia suala hilo.